Friday 20 November 2009

VYURA WA KIHANSI NI WAAJABU

jUZI NILIZUNGUMZA NA MWANAFUNZI MMOJA WA CHUO KIKUU kuhusu vyura wa kihansi hoja yangu ya msingi ilikuwa ni juu ya uwezo wetu kisayansi miaka arobaini baada ya uhuru, ni nkweli kuwa tulishindwa kuwafanyia uchunguzi wa kutosha hadi ikabidi wapelekwe amerika. Jibu nililolipata kutoka kwake sikulitegemea nanukuu " yaani vyura wamefika na kuishi marekani kwa miaka sita namimi mtu mzima nakusikia tu" Ilinibidi kufikiri zaidi juu yake kuliko vyura wale. Nilipomuuliza anasoea nini? akajibu B.ed Science(chemistry and Biology) i didn't believe!

vyura hao ni wadogo mno kiasi cha robotatu nchi tu

Tuesday 17 November 2009

vyura wa kihansi!

vyura wa kihansi waqnaotarajiwa kurudishwa nchini kutoka Toledo zoonchini marekani wanatarajiwa kuhifadhiwa na wanasayansi wa chuo kikuuu cha dare-es salaam. Vyura hao walihifadhiwa kwa gharama ya shilingi milioni kumi na tano za kitanzania kwa mwaka! it is a good news

Monday 9 November 2009

Je ni time menagement au ni uvivu?

sidhani kuwa tatizo ni lugha au maneno hayatoshi labda ni time management imeanza kuwa ajenda ya kiafrika, yote yawezekana lakini watu hatusomi articles ndefu anyway take time and see what you can do!

Friday 6 November 2009

ni tatizo la kijenetiki au ni ukosefu wa changamoto

How are you? The problem of this question is that it needs only one respond and that is “Fine” or “am fine” but in reality the one responding might have good number of difficulties. Anyway this is not of my concern today!

History tells us that up to the 15th century the economic development level was the same all around the world that is; Africa was having the same economic status as Europe and Asia without speaking of America and Australia. Walter Rodney spoke of “How Europe Underdeveloped Africa”, to my opinion that was Adam-eve approach “blaming others for your own mistakes”. What came up? Why didn’t Africa under develop Europe? Please don’t perceive me wrong am at no intention of either argue or criticize the Rodney’s thoughts.

We can stand together and think what went wrong, why was Africa left behind? Some argue carelessly that primitive accumulation and mercantilism which was then advanced to colonialism are the processes that made Africa the way it is today. But the question is still unanswered why Africans failed to accumulate and colonize Europe? Why Africa went on being the exploited?

We can now realize that something went wrong even before all those processes, so instead of finding all ways to blame Europe lets try to find the real cause of us as continent being poor as we are.

There are two hypotheses I would like to state. The first states “the more you face problem the more creative you become” and the second important hypothesis is “facing problem involves giving it the right solution” Please you don’t need to agree with me or to disagree.

The European especially those of the North West faced a lot of problems from environmental disaster, cold to land shortage, the intensity of their problems gave them higher demand for the good solution to avoid it from reoccurring. The identification of problem requires a great understanding of the cause and effect, so that instead of dealing with effects we deal with causes. Identification of a problem is the first step towards solving the problem.

What came up? Africans came to be the way they are today simply due to lack of creativity and failure to come up with proper solution for their small problems. Woo! These are my opinion and no one can just say yes or no. But please you have the chance and right to think otherwise.

Tuesday 3 November 2009

HII NI KAZI NZURI, kWA KIASI GAN?I

nI KAZI NZURI KUPITIA BLOGS, NI KAZI NZURI KUCHANGIA, KUTOA MAONI Je ni kwa kiasigani? wasiokuwa na uelewa wa komputer, uelewa wa matumizi , wasio na uelewa wa matumizi ya blogs wanapata manufaa ya kazi hii nzuri? Ndo kwanza naanza kutumia blog na nafurahishwa na kazi nzuriinayofanya lakini huu uzuri ni wa kiasi gani? Je ni wangapi wanaofaidi? je unaleta mabadiliko kwa kiasi gani?

Wanaudhi kwa kwao kujipongeza!

Kila anayesimama anaanza kwa kupongeza, na kushukuru, hii imekuwa kawaida siku hadi siku. Rais, viongozi, wabunge na wanadiplomasia, Lipi walilotutendea linalostahili pongezi? Hawachoki? Je huku sio kujipendekeza ili Kuficha makosa na uovu wao? je nazile shukrani kipi kikubwa mbona zinazidi?

jE NI LAZIMA KULAUMU?

afrika imekuwa nyuma kimaendeleo. Je kuna wa kumlaimu?