Tuesday 17 November 2009

vyura wa kihansi!

vyura wa kihansi waqnaotarajiwa kurudishwa nchini kutoka Toledo zoonchini marekani wanatarajiwa kuhifadhiwa na wanasayansi wa chuo kikuuu cha dare-es salaam. Vyura hao walihifadhiwa kwa gharama ya shilingi milioni kumi na tano za kitanzania kwa mwaka! it is a good news