Tuesday 3 November 2009

HII NI KAZI NZURI, kWA KIASI GAN?I

nI KAZI NZURI KUPITIA BLOGS, NI KAZI NZURI KUCHANGIA, KUTOA MAONI Je ni kwa kiasigani? wasiokuwa na uelewa wa komputer, uelewa wa matumizi , wasio na uelewa wa matumizi ya blogs wanapata manufaa ya kazi hii nzuri? Ndo kwanza naanza kutumia blog na nafurahishwa na kazi nzuriinayofanya lakini huu uzuri ni wa kiasi gani? Je ni wangapi wanaofaidi? je unaleta mabadiliko kwa kiasi gani?

Wanaudhi kwa kwao kujipongeza!

Kila anayesimama anaanza kwa kupongeza, na kushukuru, hii imekuwa kawaida siku hadi siku. Rais, viongozi, wabunge na wanadiplomasia, Lipi walilotutendea linalostahili pongezi? Hawachoki? Je huku sio kujipendekeza ili Kuficha makosa na uovu wao? je nazile shukrani kipi kikubwa mbona zinazidi?

jE NI LAZIMA KULAUMU?

afrika imekuwa nyuma kimaendeleo. Je kuna wa kumlaimu?